Friday, February 5, 2016

Sergio Aguero aibuka mchezaji bora ligi ya Uingereza

Shambuliaji wa timu ya Argentina na klabu ya Manchester City, Sergio Aguero ameshinda tuzo ya mchezajo bora wa Ligi Kuu nchini England (EPL)mwezi wa Januari.
Aguero hadi sasa amefunga jumla ya magori 7 na kutoa pasi 1 ya bao.













Kocha wa Southampton, Ronald Koeman ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwwzi January katika ligi hiyo ya EPL baada ya kuongoza timu yake kuzifunga timu ya Watford, Wwst Brom na Man United. 

No comments:

Post a Comment