Jana pande za SlipWay ,Ali Kiba alizindua video yake ya
#Lupela lakini mipango yake ilikuwa ni kufanya uzinduzi wa video hiyo
kwenye mbuga za wanyama.
"Nilitamani sana kwenda kufanya ndani ya mbuga ili i make
sense zaidi ili honey wangu #Lupela afurahie zaidi lakini kiu kweli
ilikuwa ni uoga wangu tu asije akatokea Simba halafu Lupela akafia pale
pale, lakini tumefanya kitu kizuri na tumejaribu ku create vitu
ambavyo watu watapenda tumecheza, tumeinjoi,kuna parts za elephants
kidogo kuonyesha kwamba najali jinsi gani kwamba mimi ni balozi nafanya
kazi yangu vizuri." Alikiba
Alikiba na Wema Sepetu


No comments:
Post a Comment