Friday, February 5, 2016

Amber Rose na Wiz Khalifa warudiana...?

Miezi kadhaa imepita tangu wapigane chini baada ya Wiz Khalifa kumcheet mpenzi wake Amber Rose na walibahatika kumpata mtoto mmoja (Sebastian).


Hivi sasa wamerudiana tena baada ya Amber Rose kwenda kumsapoti Wiz kwenye party ya utambulisho wa new album na kuanza ku show some love kwa kukisiana na kuwa tight close kiasi cha kusababisha watu kusema uenda beef la Kanye West na Amber Rose limewarudisha kuwa pamoja.
Tazama video hapa...... 

No comments:

Post a Comment