Msanii wa filamu 'Yobnesh Yusuf' aka Batuli amesema ni muda mrefu amekuwa aliyokuwa
akijibiwa wakati akihitaji malipo yake kwa msanii mwenzie Vicent ‘Ray’ Kigosi Akizungumza
kupitia kipindi cha Twenzetu cha Times Fm, Batuli amedai kuwa pesa anayomdai
Ray ni milioni 1 na laki 2, malipo halali kwa vipande alivyoshiriki kwenye
filamu ya Ray.
Akizungumza
kupitia kipindi cha Twenzetu cha Times Fm, Batuli amedai kuwa pesa anayomdai
Ray ni milioni 1 na laki 2, malipo halali kwa vipande alivyoshiriki kwenye
filamu ya Ray
Aliongeza,
“Mi nikapata accident ya moto, nikamwambia naomba pesa yangu, akasema njoo
upige picha ya ‘Cover’ nikasema sipigi mpaka unipe pesa yangu akanijibu
‘unaumwa wewe’, uvumilivu umefika kikomo nimeamua nitafute msaada wa kisheria
na mkataba wangu umeungua kwenye ajali ya moto.
“Nikimpigia
anaesema ana pesa, namwambia ungekuwa unahela usingeniita kwenye kazi yako.”
alisema Batuli
No comments:
Post a Comment