Friday, January 29, 2016

(Soma hapa) ujue sababu ya Wema Sepetu na Idris kuwa wapenzi


Usiku wa jana Staa Wema Sepetu na Idris Sultan walidhibitisha kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha #Ala Za Roho @Cloudsfmtz kuwa wanashea shuka pamoja, wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.
 Watanzania wote masikio yao yalikuwa kwenye show ya ‘Ala Za Roho’ anaye host @divathe bawse kuanzia saa 4-6. Na interview ilikuwa kama ifuatavyo…..
“Unajua kuna kipindi nilikuwa siamini nikawa namtuma mdogo wangu akaninunulie ‘pregnancy test’ nyingi ili niwe na ’test’ kila siku kuna siku nilipanga na daktari kwa ajili ya kwenda kufanya ‘process’ ya kusafisha kizazi, ila baada ya muda kupita nikamwambia nime-miss period zangu, so Dkt. akaniambia kabla sijasafisha kizazi nipime kwanza kama nina ujauzito.
Kesho asubuhi haja ndogo ya kwanza baada ya kuamka aliniambia nipime kiukweli kipimo kilikuwa kinaonyesha kwa mbali mstari yote miwili miekundu……Nikajiuliza ninayo au macho yangu nikatoka nikamwamwonyesha mtu mwingine akaniambia nina mimba, nikampigia simu dokta wangu nikamweleza nikamwambia nitaenda na kipimo na yeye akione.
“Nilipofika kwa daktari alipoona aliniambia kuwa nimenasa ujauzito, akaniambia yaani alikuwa akiniwaza kuwa amewazalisha marafiki zangu wengi kwa hiyo mimi ningekuwa na mtoto lini, nikamweleza ile ishu ya kusafisha kizazi kwa sababu sijawahi kusafisha katika maisha yangu,akaniambia Mungu ana miujiza yake,akaniambia kesho yake niende nikapime damu,nikaenda nikapimwa kila kitu kilikuwa safi akaniambia ninaweza kuanza kliniki.
Unajua sijui ni Mungu nilikuwa namwambia mpenzi wangu,Idris kuwa nina mimba lakini nilikuwa sijapima,nilipotoka hospitali nikamwambia mpenzi wangu kuwa nina mimba ili nimuone atasemaje.” Wema.
IDRIS  ALIJUAJE KAMA WEMA ANA UJAUZITO?
“Kuna rafiki yake mmoja alinipigia simu akaniambia kuwa Wema na ujauzito,kipindi hicho nilikuwa nimetoka kukwaruzana na Wema kuhusiana na vitu vilivyokuwa vikiendelea kwenye mitandao ya kijamii, nilivyopokea simu kabla ya kuongea chochote akaniita Baba Kijacho ,nikamuuliza unasemaje ? akaniambia inabidi ufungue akaunt ya mtoto benki…Nikaona kama ananitania ..wakati huo wakati napokea simu nikuwa naendesha gari maeneo ya Mwenge ilikuwa nusu nikanyage matunda ya watu.
“Unajua mimi sipendi kudanganywa …nikawaza unaweza kuwaambia marafiki zako mara ukaambiwa mimba haipo …baada ya hapo nikaenda kununua vipimo mimi mwenyewe ili nijiridhishe.. nikampigia baby akaniambi yupo nyumbani siku hiyo nililala kwake ….asubuhi yake alienda chooni kipindi hicho anaishi Kijitonyama kwa siri sana nilipomwona anatoka chooni nikienda na kipimo changu…ilichukua muda wa siku tatu kujua kama ni kweli ana mimba bila yeye kujua.
“Kuna siku alinipigia akaniambia kuwa ana mimba…ikabidi nimwigizie nikamjibu kama sijui….nikasema …Oooh My God…nikamjibu nilikuwa najua siku nyingi nikamuuliza amejipangaje akaniambia yupo poa...Ukweli Wema alikuwa analia kila kuhusu kutosika ujauzito.” Idris
UHUSIANO WAO ULIANZIA WAPI?
“Kwa mara ya kwanza kumuona Idriss ilikuwa Iview Records kwa Raqie …Ile picha iliyoipost kwenye Instagram nikimuwish happy birthday ndio ilikuwa pich ya kwanza baada ya kufahamiana …tuliongea sana siku hiyo nilienda kufanya photo shoot ya kava la Bab Kubwa …Baada ya miezi kadhaa nikamwona ni mmoja ya washiriki wa shindano la Big Brother ,kipindi hicho nilikuwa naangalia sana Big Brother,kama utakumbuka vizuri kipindi kile nilikuwa napost sana picha zake kwa ajili kuhamasisha watu kumpigia kura ,’’Wema.
“Nilivutiwa jinsi alivyokuwa akifanya vituko kwenye lile jumba,sasa kipindi kile alivyokuwa akirudi nyumbani baada ya kuibuka mshindi,nikamtumia sms kwenye Instagram nikamwambia hongera ,akanijibu hey mamy sasa hivi nipo bize kidogo nitakucheki,’I see you’,so alivyopata muda nilimwalika nyumbani kwangu tuliongea sana ,nakumbuka kipindi hicho nilikuwa nipo ‘singo’ nikawa nime weka akili yangu yote kwake.
“Kipindi ambacho Idriss akiwa kwenye jumba la Big Brother alianzisha uhusiano na mshiriki kutoka Sauz, Samantha kuna kipindi alikuja Bongo ,tayari nilishakuwa na mapenzi na Idris kikweli iliniuma sana na kumbuka sikuwa na mpenzi.
“Kuna siku moja Idriss alikuja nyumbani kwangu na Luis Munana bila kunitaarifu,walikuwa wamemuacha Samantha nyumbani ,nilimwambia Idris kuwa  Luis anavutia sana,nilimpenda jinsi alivyo ,lakini kiukweli nilikuwa nikiwaona Idriss na Samantha ilikuwa inaniuma sana.
“Nilikutana na Luis kwenye ‘Instagram Party’ nilipomwambia Idriss kuwa nampenda Luis sikufanya chochote kwa sababu sikuwa na namba yake ya simu, baada ya ile party ndio tulizoana na kupeana namba za simu,sikuwa na jinsi Luis nilikuwa naye kwa kipindi kile ili aniliwaze tu lakini akili na moyo wangu ulikuwa kwa Idriss.” Wema Sepetu.



Usiku wa jana Staa Wema Sepetu na Idris Sultan walidhibitisha kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha #Ala Za Roho @Cloudsfmtz kuwa wanashea shuka pamoja, wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.
Watanzania wote masikio yao yalikuwa kwenye show ya ‘Ala Za Roho’ anaye host @divathe bawse kuanzia saa 4-6. Na interview ilikuwa kama ifuatavyo…..
“Unajua kuna kipindi nilikuwa siamini nikawa namtuma mdogo wangu akaninunulie ‘pregnancy test’ nyingi ili niwe na ’test’ kila siku kuna siku nilipanga na daktari kwa ajili ya kwenda kufanya ‘process’ ya kusafisha kizazi, ila baada ya muda kupita nikamwambia nime-miss period zangu, so Dkt. akaniambia kabla sijasafisha kizazi nipime kwanza kama nina ujauzito.
Kesho asubuhi haja ndogo ya kwanza baada ya kuamka aliniambia nipime kiukweli kipimo kilikuwa kinaonyesha kwa mbali mstari yote miwili miekundu……Nikajiuliza ninayo au macho yangu nikatoka nikamwamwonyesha mtu mwingine akaniambia nina mimba, nikampigia simu dokta wangu nikamweleza nikamwambia nitaenda na kipimo na yeye akione.
“Nilipofika kwa daktari alipoona aliniambia kuwa nimenasa ujauzito, akaniambia yaani alikuwa akiniwaza kuwa amewazalisha marafiki zangu wengi kwa hiyo mimi ningekuwa na mtoto lini, nikamweleza ile ishu ya kusafisha kizazi kwa sababu sijawahi kusafisha katika maisha yangu,akaniambia Mungu ana miujiza yake,akaniambia kesho yake niende nikapime damu,nikaenda nikapimwa kila kitu kilikuwa safi akaniambia ninaweza kuanza kliniki.
Unajua sijui ni Mungu nilikuwa namwambia mpenzi wangu,Idris kuwa nina mimba lakini nilikuwa sijapima,nilipotoka hospitali nikamwambia mpenzi wangu kuwa nina mimba ili nimuone atasemaje.” Wema.
IDRIS  ALIJUAJE KAMA WEMA ANA UJAUZITO?
“Kuna rafiki yake mmoja alinipigia simu akaniambia kuwa Wema na ujauzito,kipindi hicho nilikuwa nimetoka kukwaruzana na Wema kuhusiana na vitu vilivyokuwa vikiendelea kwenye mitandao ya kijamii, nilivyopokea simu kabla ya kuongea chochote akaniita Baba Kijacho ,nikamuuliza unasemaje ? akaniambia inabidi ufungue akaunt ya mtoto benki…Nikaona kama ananitania ..wakati huo wakati napokea simu nikuwa naendesha gari maeneo ya Mwenge ilikuwa nusu nikanyage matunda ya watu.
“Unajua mimi sipendi kudanganywa …nikawaza unaweza kuwaambia marafiki zako mara ukaambiwa mimba haipo …baada ya hapo nikaenda kununua vipimo mimi mwenyewe ili nijiridhishe.. nikampigia baby akaniambi yupo nyumbani siku hiyo nililala kwake ….asubuhi yake alienda chooni kipindi hicho anaishi Kijitonyama kwa siri sana nilipomwona anatoka chooni nikienda na kipimo changu…ilichukua muda wa siku tatu kujua kama ni kweli ana mimba bila yeye kujua.
“Kuna siku alinipigia akaniambia kuwa ana mimba…ikabidi nimwigizie nikamjibu kama sijui….nikasema …Oooh My God…nikamjibu nilikuwa najua siku nyingi nikamuuliza amejipangaje akaniambia yupo poa...Ukweli Wema alikuwa analia kila kuhusu kutosika ujauzito.” Idris
UHUSIANO WAO ULIANZIA WAPI?
“Kwa mara ya kwanza kumuona Idriss ilikuwa Iview Records kwa Raqie …Ile picha iliyoipost kwenye Instagram nikimuwish happy birthday ndio ilikuwa pich ya kwanza baada ya kufahamiana …tuliongea sana siku hiyo nilienda kufanya photo shoot ya kava la Bab Kubwa …Baada ya miezi kadhaa nikamwona ni mmoja ya washiriki wa shindano la Big Brother ,kipindi hicho nilikuwa naangalia sana Big Brother,kama utakumbuka vizuri kipindi kile nilikuwa napost sana picha zake kwa ajili kuhamasisha watu kumpigia kura ,’’Wema.
“Nilivutiwa jinsi alivyokuwa akifanya vituko kwenye lile jumba,sasa kipindi kile alivyokuwa akirudi nyumbani baada ya kuibuka mshindi,nikamtumia sms kwenye Instagram nikamwambia hongera ,akanijibu hey mamy sasa hivi nipo bize kidogo nitakucheki,’I see you’,so alivyopata muda nilimwalika nyumbani kwangu tuliongea sana ,nakumbuka kipindi hicho nilikuwa nipo ‘singo’ nikawa nime weka akili yangu yote kwake.
“Kipindi ambacho Idriss akiwa kwenye jumba la Big Brother alianzisha uhusiano na mshiriki kutoka Sauz, Samantha kuna kipindi alikuja Bongo ,tayari nilishakuwa na mapenzi na Idris kikweli iliniuma sana na kumbuka sikuwa na mpenzi.
“Kuna siku moja Idriss alikuja nyumbani kwangu na Luis Munana bila kunitaarifu,walikuwa wamemuacha Samantha nyumbani ,nilimwambia Idris kuwa  Luis anavutia sana,nilimpenda jinsi alivyo ,lakini kiukweli nilikuwa nikiwaona Idriss na Samantha ilikuwa inaniuma sana.
“Nilikutana na Luis kwenye ‘Instagram Party’ nilipomwambia Idriss kuwa nampenda Luis sikufanya chochote kwa sababu sikuwa na namba yake ya simu, baada ya ile party ndio tulizoana na kupeana namba za simu,sikuwa na jinsi Luis nilikuwa naye kwa kipindi kile ili aniliwaze tu lakini akili na moyo wangu ulikuwa kwa Idriss.” Wema Sepetu.

No comments:

Post a Comment