Ushindi
wa tuzo tatu za Channel O 2014 alizochukua Mtanzania Diamond Platnumz
umekua mkubwa sio tu kwa Tanzania bali Afrika na kona zake ambapo
miongoni mwa walioandika baada ya Diamond kushinda ni Davido.
Msanii huyu wa Nigeria ambae alifanya remix ya number one ya Diamond aliandika kwenye page yake ya instagram TANZANIA STAND UP! HE DID IT na kisha akam mention Diamond Platnumz.
Ingawa Davido hakupata tuzo yoyote ya Channel O.


Msanii huyu wa Nigeria ambae alifanya remix ya number one ya Diamond aliandika kwenye page yake ya instagram TANZANIA STAND UP! HE DID IT na kisha akam mention Diamond Platnumz.
Ingawa Davido hakupata tuzo yoyote ya Channel O.



No comments:
Post a Comment