Forbes ya limetoa list ya wana Hip Hop walioingiza hela nyingi mwaka 2015 na kwa mara ya pili P-Diddy amekuwa top list hiyo .
Deal yake kubwa ni ya Ciroc, na ameingiza $62 millioni, lakini hii hela haijatoka kwenye ventures za muziki na sasa hivi ana tour yake na crew ya Bad Boy. Jay z ni wa pili na kuingiza $53.5 millioni na hii ni kwa sababu ya Roc Nation, Tidal, Armand de Brignac champagne na D’ Usse cognac.
1. Diddy – $62 million
2. Jay Z – $53.5 million
3. Dr. Dre – $41 million
4. Drake – $38.5 million
5. Wiz Khalifa – $24 million
6. Nicki Minaj – $20.5 million
7. Pitbull – $20 million
8. Pharrell Williams – $19.5 million
9. Kendrick Lamar – $18.5 million
10. Birdman – $18 million
Ya Africa iko hivi: Jose Chameleone...Banky W. ...Hugh Masekela. ...2
Face Idibia. ...Fally Ipupa. ...Salif Keita. ...Koffi Olomide. ...D'banj…Ice
Prince.. Davido..wizkid…p square..Don Jazzy..Diamond?





No comments:
Post a Comment