Mike Sonko ni senator mwenye vitu kuliko maseneto wote wa Kenya kiasi cha kujiongezea umaarufu mkubwa kutokana na ucheshi kwa jamii yake na juhudi zake za kijamii, baada ya kuwa anatupia bling bling sasa kaamua kunyoa nywele na kuandika neno 'peace' kichwani kwake.
Tazama picha zake hapa....


No comments:
Post a Comment