Monday, February 1, 2016

Ray C aja juu kwa kuandikwa vibaya


Mwanamuziki mkongwe Rehema Chalamira aka Ray C amekuja juu baada ya kuandika kwenye gazeti pendwa la hapa Tz.
 
Ray C amekuja juu kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa instagram kwa kuwatuhumu gazeti lililoandika makala hiyo ikimuhusisha yeye na jimbo la wauzaji unga….

Soma hapa….


No comments:

Post a Comment