Saturday, January 30, 2016

Young Killer kuachia new joint next month

Rapper Young Killer anayefanya vizuri sana kwa ngoma zake kama 'August 13', 'Popote Kambi' nk.. kwa sasa anajiandaa kuachia jiwe jipya mwishoni mwa mwenzi wa pili..

Young Killer ameyaandika hayo kwenye ukurasa wake wa instagram...

#NDUGU ZANGU NA RAFIKI ZANGU ,MASHABIKI ZANGU,MAADUI ZANGU.. NGOMA YANGU MPYA KWA MWAKA 2016 #NTAITOA MWEZI WA PILI..MWISHONI. ILA. #KWA MUDA HUU AMBAO NIPO KIMYA KIDOGO WAWEZA KUJILIWAZA NA NGOMA YANGU AMBAYO NIMEWAPA KAMA ZAWADI .MASHABIKI ZANGU .. LINK IPO KWENYE BIO #YANGU..
"clik link usikilize ngoma kali inatwa (INSTA MESSAGE) 🙌🏽🙌🏽 #TUKUTANE MWEZI WAPILI #MWISHONI..

No comments:

Post a Comment