Wednesday, January 27, 2016

Yamoto Band yaweka kambi Tanga.

Kundi la Yamoto Band waliweka Kambi ya Siku 3 katika jiji la Tanga wakishoot video ya wimbo wao Mpya uitwao 'Mama' chini ya Director Pablo, Video ya wimbo huo unatarajiwa kuachiwa mapema wiki ijayo.

 
Kiongozi wa kundi hilo, Aslay amesema kuwa wameamua kwenda kufanya Video hiyo Tanga ili kubadirisha mazingira na pia kuleta Utofauti na Video zingine ambazo tayari wameshazifanya, Lakini pia aliwaomba mashabiki kupokea kazi hiyo ambayo itatoka hivi Karibuni.

No comments:

Post a Comment