Wednesday, January 27, 2016

Flaviana Matata- azindua Rangi za kucha 'Lavy'

Mwanamitindo kimataifa, Flaviana Matata anayefanya kazi zake za u- model nchini Marekani, leo ame launch product yake ya 'Lavy' ni rangi za kucha za aina mbalimbali (Nail Polish) zitakuwa zinauzwa kwa sh 5,000/= 


"Nashukuru kwa kila mmoja aliyekuwa na mimi katika safari ndefu ambayo imechukua almost  two years, na yenye Milima na Mabonde ila nasema thank you so much, najua wengine wataona kama ushindani na wengine watataka kukuona unashuka chini au unabaki pale pale ila siri ya kuwa mfanyabiashara mkubwa ni kuwa na distribution channel, sijawahi kusikia Mtanzania mwenye bidhaa ya Nail Polish so tupende na kuthamini vitu vya nyumbani" @flavianamatata
Mbali na kuzindua hapa Bongo Mwanamitindo Flaviana anatarajia kuipeleka product yake (Lavy)abroad kwa ajili soko la kimataifa zaidi.







No comments:

Post a Comment