Sunday, January 24, 2016

Upcoming artists wenye ushindani mkali Tz.

Upcoming artists 2015-2016 kwenye muziki wa Bongo flava ambao kila kukicha wanafanya vizuri sana kwa ngoma zao.


Jicho la www.nambaonetz.blogspot.com limeona top 5 ya muziki wa Bongo flava wanaochipukia na kutoa ngoma zao kali kutokana na kufanya rotation ya muziki wao iwe kubwa na kupata airtime ya kutosha.
Alice

Heri Muziki
 
Chemical
 
Ruby
 
Harmonize



No comments:

Post a Comment