Sunday, October 26, 2014

P-SQUARE KUDONDOSHA ALBAMU YAO YA 'DOUBLE TROUBLE'

Wanamuziki mapacha Peter na Paul Okoye aka P-Square kutoka Nigeria wanatarajia kutoa albamu yao mwezi wa 12 mwaka huu.


P-Square tayari washatoa albamu tano na hii ndio albamu yao ya sita inayokwenda kwa jina la 'Double Trouble' ambayo muda si mrefu wataidondosha sokoni.
Stay tuned mzigo unakuja.

No comments:

Post a Comment