Monday, January 25, 2016

Zari: Wakiniita ‘Bi Kizee’ huwa najiangalia kwenye kioo

Zari The Boss Lady amekuwa akitupiwa maneno mengi ya kashfa kupitia mtandao wa ‘Instagram’ hasa kuhusu suala la umri wake kuwa ni mkubwa kuliko mpenzi wake Diamond Platnumz. 



"Naona kwenye Instagram wakiniita mie mzee,umri wangu ni mkubwa,lakini nitafanyeje,lakini nikijiangalia kwenye kioo najiona mrembo sana."Alisema Zari.

No comments:

Post a Comment