Mwimbaji wa nyimbo za Asili, Mrisho Mpoto aka Mjomba ametajwa kwenye ‘category’ (best traditional male artist) tuzo za "Kora Africa"zinazofanyika nchini Afrika Kusini.
Jinsi ya kupiga andika: kora 67,tuma kwenda: +248984000.
Ingawa kwa sasa amwachia wimbo wake mpya 'Sizonje' feat. Banana Zoroh
No comments:
Post a Comment