Baada ya kutokea kutokea kwa sito fahamu ya zoezi la Bomoa bomoa leo lilikua
likiendelea katika eneo la Mkwajuni, Dar es salaam, lakini safari hii
wananchi waliobomolewa nyumba zao wameonekana kupandwa na hasira na
kufunga barabara.
Picha zilizojili wakati wa tukio.



No comments:
Post a Comment