Habari njema ingine ni mshiriki wetu
kwenye Mashindano ya Miss World, Happiness Watimanywa ambae masaa machache yaliyopita imethibitika kwamba ameiwakilisha vizuri Tanzania na kuifanya
iingie kwenye kumi bora za mashindano ya Miss World People’s Choice.
Happiness aliandika kwenye instagram “Tanzania Asanteni kwa support na uzalendo, tuendelee mpaka namba moja!!!!! #vote #PigaKura #DownloadTheApp #MissWorld2014”– @happinesswatimanywae.
Katika list hiyo, Happiness ameshika nafasi ya tisa katika kumi bora kama inavyoonekana hapa chini.


No comments:
Post a Comment