‘BONGO MUVI UNITY’ BADO TUNA UMOJA
Msanii anayefanya vizuri ndani ya Bongo muvi, Shamsa Ford ambaye
now anasumbua na muvi ya Chausiku. Baada ya kutokea mtafaruku ndani ya
Bongo Muvi Unity, Shamsa aliambia BK kuwa Bongo muvi wana umoja wa kila
jambo.
“Sisi Bongo muvi tuna umoja sana kwa kila jambo liwe la raha au la
huzuni huwa tunashirikiana, hiko hutufanya tuwe makini katika kazi na
kujituma na kupeana connection katika kazi.
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu so sisi tumeweza kuwa kitu kimoja
katika kazi na maisha ya kwaida na tunazidi kusonga mbele kila siku na
soon tu tutafika Hollywood.” Alisema Shamsa Ford
No comments:
Post a Comment